Matumizi ya mayai ya kwale yanapendekezwa kutumika
kama sehemu ya chakula. Kwa afya zaidi inapendekezwa kuyala mabichi. Watu wengi
hawapendi wazo hili hivyo kurahisisha matumizi unashauriwa kuchanganya yai
bichi katika maziwa au maji yamatunda ama uji. Ili kuimarisha mfumo wa kinga na
kuboresha damu inapendekezwa kutumia mayai 60 ni yaani awali 3 kisha 5 kwa
siku.
Jedwali lifuatalo linaonyesha pendekezo la ratiba ya
matumizi kwa mayai ya kwale, matumizi haya wameandaliwa kulingana na umri wa
mwanadamu.
|
UMRI
|
IDADI YA JUMLA
YA MAYAI YA KWALE
|
IDADI YA JUMLA
YA SIKU
|
SIKU YA KWANZA
|
SIKU YA PILI
|
SIKU YA TATU
|
SIKU YA NNE NA
KUENDELEA
|
||
|
MTU MZIMA(TIBA)
|
240
|
49
|
3
|
3
|
4
|
5
|
||
|
MTU MZIMA
|
120
|
25
|
3
|
3
|
4
|
5
|
||
|
MIAKA 16-18
|
120
|
25
|
3
|
3
|
4
|
5
|
||
|
MIAKA 1- 15
|
120
|
31
|
3
|
3
|
3
|
4
|
||
|
MIAKA 8 - 10
|
90
|
30
|
3
|
3
|
3
|
3
|
||
|
MIAKA 4 - 7
|
60
|
20
|
3
|
3
|
3
|
3
|
||
|
MIAKA 1 - 3
|
60
|
30
|
2
|
3
|
2
|
2
|
||
|
MIEZI 3 –MWAKA 1
|
30
|
30
|
1
|
3
|
1
|
1
|
||
MAGOJWA
YA NAYO TIBIKA
Watumiaji wa dawa za asili wamependekeza matumizi ya
fuatayo ya mayai ya kwale kulingana na magonjwa mbali mbali.
Kwa watoto:
matumizi ya mayai ya kwale yamependekezwa kwawatoto yakiwa ya mepikwa au
mabichi kwa ukuaji mzuri wa mwili na akili. mayai husaidia kuboresha ufanisi wakufikiri ( IQ ).
·
Kuchochea ukuaji wa mwili, kusisimua na kuboresha shughuli za
mayai kimetaboliki mwilini. Mayai 100
·
Kuimarisha mishipa na mfumo mkuu wa mishipa.Mayai 120
Kwa wazee: mayai
ya kwale ya na athari chanya katika kuimarisha mwili kwa hiyo inapendekeza kwa
ajili ya wazee. Na ya naweza kutuliza na / au kutibu magonjwa mengi yanayo
husishwa na uzee upungufu au vuirutubisho ziada katika mwili.
·
Mayai ya kwale husaidia kuleta hali mpya ya afya na huleta
mwili kwa usawa , yanapingana na
kupambana na maradhi ya mwili. Mayai 240
·
Yanafufua kumbukumbu na kulinda seli za mwili .Mayai 120
·
Yanaongeza ufanisi katika tendo la ndoa nakuongeza uzalishaji
bora ea homoni husika.Mayai 120.
·
Yanaongeza ufanisi wa viungo vilivyo choka kutokana na kazi
na msongo wa mawazo. Mayai 240.
·
Yana imarisha mwili.Mayai 240.
·
Matibabu ya aleji.Mayai 240
·
Pumu.Mayai 240.
·
Mwasho wa ngozi na fangasi.Mayai 120.
·
Mchafuko wa mfumo wa chakula.Mayai
240.
·
Yanaondoa vidonda vya tumbo.Mayai
240.
·
Yanaboresha mmeng’enyo mbovu wa chakula.Mayai 120.
·
Yanadhibiti uzalishaji wingi wa asidi za tumboni.Mayai 120.
·
Mfumo ini. Mayai na yanaboresha utendaji kazi wa kiungo ini. Mayai 240.
·
Matibabu ya magojwa ya figo na uimarishaji kazi wa kiungo
figo. Mayai 240.
·
Matibabu ya moyo na uimarishaji utendaji kazi wa moyo.Mayai 240.
·
Matibabu ya mzunguko damu na upungufu wa damuMayai 240.
·
Shinikizo la damu na magonjwa ya kimetaboliki. Mayai 240.
·
Gauti. Mayai 240.
·
Uzito wa mwili uliokithiri.Mayai
240.
·
Kisukari. Mayai 240.
·
Magonjwa ya mfumo wa mishipa na hali ya wasiwasi.Mayai 240.
Faida za ya
mayai ya kwale wakati wa ujauzito na
wakati wa kunyonyesha.
·
matumizi ya mayai ya kwale
kwa kutia nguvu mwili wa mwanamke wakatiwa kipindi
i na baada ya kujifungua hasa yanapendekezwa zaidi kama baada ya
upasuaji au mionzi Pia yana manufaa
juu ya kiumbe kilichopo tumboni ( kuboresha uwiano mwili na akili ). Na
kwa mama baada ya kujifungua (kimwili hukarabati na kuimarisha utengenezaji wa
seli ) Mayai ya kwale pia huboresha ubora wa maziwa ya mama. Mayai 240
·
Magojwa ya upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) na
husaidia wa gonjwawenye upungufu wa kinga mwilini na kuongeza CD4. Mayai 240.
Imeandaliwa
na John Mwende
KWA
MAHITAJI YA MAYAI YA KWALE PIGA SIMU NAMBA :
0713735601
No comments:
Post a Comment